Karibu kwenye fashionbrandy.blogspot.com itakayokuwezesha wewe kuweka na kujionea matukio muhimu ya sherehe mbali mbali na mitindo ya mavazi. tutakufikia popote ulipo.
Matukio katika picha ya sherehe ya Kitchen Party ya Dida Katika Ukumbi wa Rehema Jijini Mbeya
Bibi Harusi Sala Mwakisu Mkazi wa Majengo Jijini Mbeya akiwa na Mume Wake Corn Raia wa nchini Denmark kwenye sherehe ya Ndoa yao iliyofanyika katika ukumbi wa Royal Tughimbe jijini Mbeya.
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akimlisha keki Mkuu Wilaya ya Mbeya Paul Ntinika katika maadhimisho ya Radio Maria yaliyofanyika katika viwanja vya kanisa kuu la kiaskofu jimbo la Mbeya
Comments
Post a Comment