Matukio Katika Picha ya Miss Mbeya Vijijini 2014
Mshindi wa kwanza wa Miss Mbeya
vijijini 2014 Atukuzwe Fabiani aliyekaa akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Pendo
Nelson na watatu Neema Tadei.
Ofisa uhusiano wa nje wa kampuni ya bia(TBL) Abubakar Mansoli akimkabidhi mshindi wa mashindano ya urembo ya Miss Mbeya vijijini 2014 Atukuzwe Fabian zawadi ya seti Kopyuta yenye thamani Sh800,000 baada ya kunyakua Taji hilo katika ukumbi wa Royal Tughimbe Mbalizi Mbeya vijijini.
Ofisa uhusiano wa nje wa kampuni ya bia(TBL) Abubakar Mansoli akimkabidhi mshindi wa mashindano ya urembo ya Miss Mbeya vijijini 2014 Atukuzwe Fabian zawadi ya seti Kopyuta yenye thamani Sh800,000 baada ya kunyakua Taji hilo katika ukumbi wa Royal Tughimbe Mbalizi Mbeya vijijini.
Comments
Post a Comment